HABARI KIBAJUNI

EU yatakiwa ku­saidia chachidho la us­afirishaji haramu va­hami­aji


Waziri Mkuu wa Italy, Mat­teo Renzi alisema umoya wa ulaya lad­hima us­ai­die kachika chachidho la kuk­a­bil­iana na us­afirishaji haramu va­hami­aji kachika mataifa ya ki-Afrika baada ya wa­hami­aji va­pachao 900 kud­hama Jumapili wakati boti yavo ilipod­hama kwenye ba­hari ya Mediter­ranean.

Bwana Renzi al­i­toa matamshi hayo Ju­matano wakati akid­hungumdha na wabunge wa Italy muyini Rome siku moya kabla ya vion­godhi wa ulaya kukuchana kwa kikao cha dharura kud­hungu­mud­hia machachidho hayo. Wabunge pia waliom­boledha kwa kukaa kimwa kuwakum­buka vatchu valio­fariki ku­tokana na ajali hiyo.

Kundi la haki dha bi­nadamu la Save the Chil­dren iliripoti Ju­matano kwamba ili­pacha taar­ifa kwamba va­cho­cho wadogo wa­pachao 60 wa­likuwa ndani ya boti wakati ilipod­hama na kundi imevona kwamba kama hali hii ya sasa in­aen­de­lea va­cho­cho wa­hami­aji wa­siop­un­gua 2,500 watawedha ku­fariki kachika ajali kama hidho kwenye ba­hari ya Mediter­ranean mwaka huu.

Save the Chil­dren in­daeleza kwamba wavu­lana wane am­bao vanasema vanaumri tini ya mi­aka 18 val­i­nusurika ku­toka ajali ya Jumapili wakati kapteni wa boti ya va­hami­aji hao kwa ba­hati mbaya ali­pogonga boti kwenye meli ya mid­higo iliyokua in­aelekea ku­vaokoa.

Waen­de­sha mash­taka wa Italy katika muyi wa Si­cilia wa Cata­nia walisema kapteni wa boti hiyo raia wa Tunisia alion­godha boti hiyo iliy­oyaa vachu kupicha ki­asi hadi meli ya kon­tena ya Ureno muda mfupi kabla ya kud­hama inde ya pwani ya Libya siku ya Ju­mamosi usiku April 18 mwaka 2015. Maafisa wanasema hiyo ni ajali mbaya kabisa iliyos­ababisha kifo vengi kuwahi ku­tokea kachika ba­hari ya Mediter­ranean. Kuna vachu 28 pe­kee valionusurika.

Mwen­de­sha mash­taka ame­on­dowa lawama dhod­hote dha uwa­jibikaji kwa meli hiyo ya mid­higo.